Nimetafakari habari zako nami nashindwa kuelewa kabisa
Binadamu angenipa neema kesho angechoka kunipa zaidi
Lakini wewe hauna kikomo, wala mvua yako haina majira
Bwana, wanyesha mvua, Bwana, kwa walio jangwani
Bwana, wawasha jua, Bwana, mpaka baharini
Kweli Bwana wewe ni mwema sana nitasimulia miji,
Yesu ni mwema, Yesu ni mwema
Nitahubiri vijini, Yesu ni mwema Yesu ni mwema
Nitayafafanua haya, Yesu ni mwema Yesu ni mwema
Watu wote wapate kuyajua, Yesu ni mwema Yesu ni mwema
Nitasimulia nchi, Yesu ni mwema Yesu ni mwema
Niliwaza kwa ubinadamu mpaka mwisho wa kufikiri
Ukataka nijipe moyo, nisihofu kitu
Kwa kuwa humtupi anayekutumainia
Ukataka nijipe moyo, nisihofu kitu, kamwe
Uzoefu wa mapito haya ukaninyima usingizi
Ukataka nijipe moyo, nisihofu kitu
Kanuni za dunia zikavunja matumaini
Ukataka nijipe moyo, nisihofu kitu, kamwe
Giza lilipotanda mchana likanifunika usoni
Ukataka nijipe moyo, nisihofu kitu
Nikapiga kelele hofu kuu ikanisonga
Ukataka nijipe moyo, nisihofu kitu, kamwe
[T|b] Naimba he he, naimba leo
Naimba he he, naimba mimi
Ulijua wazi kwamba mimi sikuwa nastahili,
Kwa sababu mimi mdhaifu mwili na roho
Ukaruhusu nifanikiwe juhudi zangu
Makusudi ili nione ukuu wako
Ndugu wanipende, jamaa waniheshimu
Marafiki wanijali, wanisaidie
Ndiyo maana leo, mimi nakurudishia;
[W] Utukufu ni wako milele
Sifa heshima ni vyako daima
Wewe peke yako unastahili
Usifiwe na uhimidiwe!
Nakushukuru Bwana, kwa kuwa umeniona asante
Nakushukuru Bwana, kwa kuwa umeniona asante
Nakupa utukufu, kwa kuwa umeniona asante
Milele na milele, kwa kuwa umeniona asante
Nakushukuru Bwana, kwa kuwa umeniona asante
Binadamu angenipa neema kesho angechoka kunipa zaidi
Lakini wewe hauna kikomo, wala mvua yako haina majira
Bwana, wanyesha mvua, Bwana, kwa walio jangwani
Bwana, wawasha jua, Bwana, mpaka baharini
Kweli Bwana wewe ni mwema sana nitasimulia miji,
Yesu ni mwema, Yesu ni mwema
Nitahubiri vijini, Yesu ni mwema Yesu ni mwema
Nitayafafanua haya, Yesu ni mwema Yesu ni mwema
Watu wote wapate kuyajua, Yesu ni mwema Yesu ni mwema
Nitasimulia nchi, Yesu ni mwema Yesu ni mwema
Niliwaza kwa ubinadamu mpaka mwisho wa kufikiri
Ukataka nijipe moyo, nisihofu kitu
Kwa kuwa humtupi anayekutumainia
Ukataka nijipe moyo, nisihofu kitu, kamwe
Uzoefu wa mapito haya ukaninyima usingizi
Ukataka nijipe moyo, nisihofu kitu
Kanuni za dunia zikavunja matumaini
Ukataka nijipe moyo, nisihofu kitu, kamwe
Giza lilipotanda mchana likanifunika usoni
Ukataka nijipe moyo, nisihofu kitu
Nikapiga kelele hofu kuu ikanisonga
Ukataka nijipe moyo, nisihofu kitu, kamwe
[T|b] Naimba he he, naimba leo
Naimba he he, naimba mimi
Ulijua wazi kwamba mimi sikuwa nastahili,
Kwa sababu mimi mdhaifu mwili na roho
Ukaruhusu nifanikiwe juhudi zangu
Makusudi ili nione ukuu wako
Ndugu wanipende, jamaa waniheshimu
Marafiki wanijali, wanisaidie
Ndiyo maana leo, mimi nakurudishia;
[W] Utukufu ni wako milele
Sifa heshima ni vyako daima
Wewe peke yako unastahili
Usifiwe na uhimidiwe!
Nakushukuru Bwana, kwa kuwa umeniona asante
Nakushukuru Bwana, kwa kuwa umeniona asante
Nakupa utukufu, kwa kuwa umeniona asante
Milele na milele, kwa kuwa umeniona asante
Nakushukuru Bwana, kwa kuwa umeniona asante
Other albums by the artist
Similar artists
Reuben Kigame
Artist
Christina Shusho
Artist
William Yilima
Artist
Ambassadors Of Christ Choir
Artist
UPENDO NKONE
Artist
Godfrey Steven
Artist
Ambwene Mwasongwe
Artist
Fanuel Sedekia
Artist
Goodluck Gozbert
Artist
Zabron Singers
Artist
Martha Mwaipaja
Artist
Angel Benard
Artist
Christopher Mwahangila
Artist