Kishore Kumar Hits

Mireille Basirwa - Tunashuka lyrics

Artist: Mireille Basirwa

album: AMOUR


Tunashuka aaah uinuliwe eeh
Tunashukaaa uinuliwe
Tunashuka aah uinuliwe eeh
Tunashukaaa uinuliwe
Wewe Ni Muumbaji sisi Ni viumbe
Wewe Ni mwenye nguvu sisi Ni wabovu
Hatuna cha kuonyesha tu kazi ya mikono yako
Hatuna cha kujivunia tu watu mbele zako
(Kwa hiyo)
Twangojea (Baba twangojea) uonekane
(pekee yako uonekane) Twangojea
(Yesu twangojea) uonekane
(Hatuna cha kuonyesha)twangojea
(Yote tunayo tumepata kwako) uonekane
(Yote tuliyo Ni kazi yako) twangojeaaa
(Baba twangojea) uonekane
Baba akauliza nimtume nani
Malaika wakanyamaza
Wanakaa hawakufaa
Yesu ukasimama unitume Mimi Baaabaa
Niwaokoe, pekee yako wastahili
(Mwanakondoo wa Mungu)
Mwanakondoo wa Mungu
(Wewe wastahili)
Wastahili.
(Mwanakondoo wa Mungu)
Mwanakondoo wa Mungu
(Wewe wastahili)
Wastahili
(Umekamata hicho kitabu)
Mwanakondoo wa Mungu
(Ukakipasua ukanifungua)
Wastahili
(Ukaniokoa nikawa huru)
Mwanakondoo wa Mungu
(Mwanakondoo wa Mungu)
Wastahili
(Hukumu yako juu yako)wastahili
(Dhambi zangu juu yako)wastahili
(Magonjwa yangu ndani yako)wastahili
(Pale msalabani) wastahili
(Wastahili)Wastahili (kwa hiyo)wastahili
Bwana wastahili wastahili
Yesu wastahili wastahili
Kupewa sifa wowowo wastahili
Kuheshimiwa wastahili
Kupewa sifa wastahili
Shukrani Ni zako Bwana wastahili
Utukufu Ni wako Mungu wastahili
Mamlaka Ni yako Yesu wastahili
Bwana wastahili wastahili
Kuheshimiwa wastahili
Kupewa sifa wastahili
Kuabudiwa wastahili
Kusifiwa wastahili
Wewe furaha yangu wastahili
Wewe uwezo wangu wastahili
Wewe amani yangu wastahili
Wewe Baraka zangu wastahili
Yesu wastahili
Unastahili Bwana wa maisha yangu
Unastahili Yesu wangu
Pokea sifa za midomo yangu
Pokea maabudu ya maisha yangu
Kwani sina Mwingine Bwana mwingine kama wewe
Uliyenichukua na udhaifu wangu
Ukanifanya kuwa MTU mpya
Ukanipatia usamani wa kuwa mwana wako Mungu
Niko hapa chini ya jua
Lakini natembea na Mungu mzima ndani mwangu
Unakuwa huko juu mbinguni lakini Mimi
Ninakaa kwenye kiti cha enzi pamoja na wewe
Kwani ulimwambia Baba ninahitaji wawe umoja
Jinsi Mimi na wewe tulivyo umoja
Yesu ndani mwangu ninakuwa samani ya ajabu
Unastahili Yesu wangu
Unastahili Bwana wa majeshi

Поcмотреть все песни артиста

Other albums by the artist

Similar artists