Halleluya,
Ndugu yangu Biblia inasema
Waabudio halisi watamwabudu Bwana
Katika roho na kwa kweli
Na ni wakati huu – ukiwa ndani ya gari lako,
Ukiwa ndani ya basi unasafiri,
Ukiwa unafanya kazi ndani ya ofisi yako
Jiunge pamoja nami tumwinue Bwana
Tumwambie wastahili uko mwenye nguvu
Ukiwa uliamka asubuhi
Na haukumwambia kitu Mungu,
Ni wakati wa kumwambia Bwana:
Utukuzwe, uinuliwe
Tujiunge pamoja kwa wakati huu
Tumwambie Bwana "Wastahili"
Ikiwa uko katika maombi ya kufunga na kuomba,
Hebu tujiunge pamoja, Twende Haleluya
Mungu wetu mwenye nguvu, ni Baba wa Milele
(Mungu wetu mwenye nguvu, Baba wa milele)
Eeh Eeh Ni Mwenye nguvu, Ebeneza Baba wa milele
(Mungu wetu mwenye nguvu, Baba wa milele)
Wanipa mema, wewe ni mwenye nguvu, Baba wa milele yote
(Mungu wetu mwenye nguvu, Baba wa milele)
Nguvu zako zashangaza Dunia, uliumba mbigu pasipo nguzo,
Hewani Baba.
(Mungu wetu mwenye nguvu, Baba wa milele)
Uko mwema, Bwana, matendo yako ni ya ajabu sana aaaaa
Neema yako, fadhili zako, kila asubuhi
Ni mpya tena zanifariji moyo niamkapo baba
Nikikosewa na maisha, wanipa tumaini la kupata maisha Baba
Wajapo nicheka majirani wangu
Wewe upo upande wangu, Uhimidiwe Yahweh
Neema yako, fadhili zako, kila asubuhi
Ni mpya tena zanifariji moyo niamkapo
Wanipa tumaini la maisha Baba yangu o duniani
Natembea nawe Baba yangu,
Hujaniacha mimi o Baba
Neema yako, fadhili zako, kila asubuhi
Ni mpya tena zanifariji moyo niamkapo
Wanipa tumaini la maisha Baba yangu oooh duniani
Natembea nawe Baba yangu,
Hujaniacha mimi
Oooh Baba.
Neema yako, fadhili zako, kila asubuhi
Ni mpya tena zanifariji moyo niamkapo
Kulala, kuamka
Ni kwa neema yake Mungu, Ndugu yangu,
Ulimpa mungu nini wewe
Kusudi uwe jinsi ulivyo?
Usijivune bure ni neema yake baba.
Neema yako, fadhili zako, kila asubuhi
Ni mpya tena zanifariji moyo niamkapo
Aiiiii, Yesu, nani kama wewe Bwana, Sina mwingine kukuliko wewe, mfalme wa dunia ni wewe, mwanzo na mwisho ni wewe Baba aaa oh Yesu
Baba utukuzwe, Baba uinuliwe
Rafiki yangu, I love you, I love you, I love you Baba yo
Baba utukuzwe, Baba uinuliwe
Maneno yako yafungua watu, yafungua watu, yafungua watu
Baba utukuzwe, Baba uinuliwe
Sitasahau uliponitoa, Umenitoa mbali, umenitoa mbaali baba
Baba utukuzwe, Baba uinuliwe
Oooh oooh, uhimidiwe yahweh
Baba utukuzwe, Baba uinuliwe
Rafiki yangu nakupenda sana, nakupenda sana, nakupenda sana Baba eeh
Baba utukuzwe, Baba uinuliwe
Rafiki yangu I love you, I love you, I love you, I love you
Baba utukuzwe, Baba uinuliwe
Sitasahau ulikonitoa, Umenitoa mbali, umenitoa mbaali baba
Baba utukuzwe, Baba uinuliwe
Maneno yako Yana nguvu sana, Yana nguvu sana, Yana nguvu sana Baba
Baba utukuzwe, Baba uinuliwe
Kwa neno lako Lazaro kafufuka, kafufuka, Kafufuka Yesu wangu
Baba utukuzwe, Baba uinuliwe
Rafiki yangu nakupenda sana, nakupenda sana, nakupenda sana Baba
Baba utukuzwe, Baba uinuliwe
Oooh oooh, Baba, ooooo, Baba, ooooo Baba, mmmmmm, noono, ooooo,, Baba yoyyo
Поcмотреть все песни артиста