Barthimayo kipofu aliketi kando ya njia Akisubili wapitaji ili wamuhurumie. Yesu alipopita ndipo kamuhurumia Historia ya maisha yake yote ilibadilikaaaa. Asante Bwana kwa kubadilisha historia ya maisha yangu Ninakumbuka agano la moyo wangu Ninakumbuka agano langu mimi na wewe,hasa nilipokutana na wewe Yesu Uinuliwe jina lako baba Bado ninanyenyekea chini yako Bado ninakupenda wewe ni mwamba wangu Yesu bado nakumbuka Yesu bado nakumbuka agano la moyo wangu tangu nimekutana nawe. Nilipo kutana na wewe Nilipo kutana na wewe historia ya maisha yangu yote ilibadilika Nilipo kutana na Yesu Nilipo kutana na Yesu historia ya maisha yangu yote ilibadilika Niliyekuwa maskini mimi Niliyekuwa sina mali Ni Yesu wa huruma ndiye kaniwezesha Niliyekuwa maskini mimi Niliyekuwa sina mali Ni Yesu wa huruma ndiye kanishindia Sioni haya mbele zako baba,bado nalitumainia jina lako Wewe husinzii wala haulali Siku zote bwana wewe ni mwema kwangu Siioni haya mbele zako,siioni haya mbele zako Wokofu niliyonao ndiyo najivunia mimi Siioni haya kumtaja Yesu Siioni haya kumsema Yesu mpenzi wa moyo wangu ameujaza moyo wangu Siioni haya mbele zake Shida zangu namwelezea Yesu rubani wa moyo wangu bado nakutumainia Niliyekuwa maskini Niliyekuwa nimehebeswa Yesu mpenzi wa moyo wangu sijajuta kuwa nawe Mawimbi ni mazito,upepo ni mkali Bado ninakutegemea,Bado najivunia uwokofu wako Bado najivunia,furaha yangu ni neno lako Asante Yesu asante unayetuliza mawimbi liinuliwe jina lako Baba.