Kishore Kumar Hits

Bahati - Dear Ex Remix (feat. Mejja) lyrics

Artist: Bahati

album: Dear Ex Remix (feat. Mejja)


Basi nifungue roho
Kwa yule wa before
Dear Ex...
Sitaki kurudia zamani
Nilikupenda sana
Ila haukuniona wa dhamani
Haukuniona wa dhamani
Sitaki kubonga mob
Nikurushie lawama
Ila roho yangu unaijua
Nilikupenda sana
Nilipokosa nisamehe
Ulipokosa nikusamehe
Na maisha yaendelee eeh
Nilipokosa nisamehe
Ulipokosa nikusamehe
Na maisha yaendelee eeh
Rafiki zangu wanaulizia, wanaulizia
Ndugu zangu wanaulizia, yule wa zamani
Haya mama anaulizia, anaulizia
Majirani wanaulizia, yule wa zamani
Nimemiss sauti yako ndani ya nyumba
Nimemiss nikisanif shash na we unafunga
Nimemiss tukioga pamoja
Nimemiss ukipika mi naonja
Nimemiss familia nimemiss manzi yangu
Ulikuwa beste yangu, advice za mabeste ndo uliskia
Walikuchocha ukavunja familia but I hope
Mahali uko unafurahia
Pole bado napenda mtoto wako
Ukiwa na shida usiogope kusema
Maisha yako mi nakutakia mema
Mad yeah Kansoul anaulizia, anauliza
Mama Hadija anaulizia, yule wa zamani
Willy Tuva anaulizia, anauliza
Governor Joho anaulizia, yule wa zamani
You never took your time to know me, time to know me
You never took your time to understand
You never took your time to know me, time to know me
But loving you is all I had
Natamani siku zile, hisia zangu zinanikosea
Hata nikuone, ukiwa naye mi nawaombea
Natamani siku zile, hisia zangu zinanikosea
Hata nikuone, ukiwa naye mi nawaombea
Maina Kageni anaulizia, anaulizia
Emali Havi anaulizia, yule wa zamani
Mwakideu anaulizia, anaulizia
Ata Otile anaulizia, yule wa zamani
Ommy huruma anaulizia
Mtua anaulizia
Mama Cider anaulizia
Yule wa zamani
Kiuna anaulizia
Mwende Clemmo anaulizia
Kwtu Mathare anaulizia
Yule wa zamani
Mama mejja anaulizia, anaulizia
Kama wa Pango anaulizia
Pengting wa zamani

Поcмотреть все песни артиста

Other albums by the artist

Similar artists