Nadia, Hoya Hoya Hoya Hoya Hoya Hoya Hoya Hoya Hoya Nilichopata nikiomba walisema kitakwisha Nikitoa shukurani hadharani wakasema najigamba Hao binadamu walinipa wiki Sasa imepita miaka bado wanasubiri Kazi ya mungu haina makosa Ingekuwa binadamu wanatoa ningekosa Sio juju ni maombi, Ni maombi Si kelele ni maombi, Ni maombi Sio juju ni maombi, Ni maombi Si kelele ni maombi, Ni maombi Hoya Hoya Hoya Hoya Hoya Hoya Hoya Hoya Hoya Maombi Lyrics Nadia Mukami 2 Na mikono nitainua magoti nipige Nimweleze jinsi alivyotenda katika maisha yangu Kazi ya mungu haina makosa Ingekuwa binadamu wanatoa ningekosa Kazi ya mungu kweli haina makosa Ingekuwa binadamu wanatoa ningekosa Sio juju ni maombi, Ni maombi Si kelele ni maombi, Ni maombi Sio juju ni maombi, Ni maombi Si kelele ni maombi, Ni maombi Maombi Lyrics Nadia Mukami 3 Maneno ya wanadamu Yalinilenga kama mishale Ila mungu hawezi kubali uanguke Alichoanzisha leo lazima atakamilisha wee Kazi ya mungu haina makosa Ingekuwa binadamu wanatoa ningekosa Kazi ya mungu kweli haina makosa Ingekuwa binadamu wanatoa ningekosa Sio juju ni maombi, Ni maombi Si kelele ni maombi, Ni maombi Sio juju ni maombi, Ni maombi Si kelele ni maombi, Ni maombi Si uchawi, Ni maombi Ooh si ulevi, Ni maombi Si kwa nguvu zangu mie, Ni maombi Si ka nadia hata hatambii, Ni maombi Oooh ni maombi, Ni maombi Si kwa nguvu zangu, ni maombi Kazi ya mungu haina makosa Ingekuwa binadamu wanatoa ningekosa Kazi ya mungu kweli haina makosa Ingekuwa binadamu wanatoa ningekosa