Kishore Kumar Hits

Elani - Forgive Me lyrics

Artist: Elani

album: Colours of Love


Hakuna aliye kuumiza nilivyo kuumiza
Ni mimi tu nimevunja moyo wako mara mia sita
Lakini nakuomba msamaha kwa mara ya elfu tisa
Baby nisamehe
Forgive me, nisamehe
Kosa baada ya kosa nimekosa
Kosa baada ya kosa, kosa
Wapi basi nitaficha sura yangu baby(aah!)
Baby nisamehe (aah!)
Forgive me, nisamehe
(Aah!)
Sisi wote wakosaji baby
Wajua navyo kuhitaji
Nakula kwa taabu
Bila wewe tabibu
Wapi basi nitaficha sura yangu
Usiporudi kwangu
Usiporudi (usiporudi)
Nitafanya nini (nitafanya nini)
(Ooh!)
Baby nisamehe
Forgive me, nisamehe
Baby nisamehe
Forgive me, nisamehe

Поcмотреть все песни артиста

Other albums by the artist

Similar artists