Kishore Kumar Hits

Godfrey Steven - Teamo lyrics

Artist: Godfrey Steven

album: Teamo


Fikra za Shetani huzania kwamba mimi ni wake
Hajajua namilikiwa na muumba
Hujaribu weka mitimiti na misumali na miiba ichomayo
Asante mungu upande wangu daima
Tena bwana ana jina langu Mikononi mwake
Alafu hujinadii nalo Malaika huko mbiguni
Kwa madaha Ajigamba enzini
Just come mwoneni
Huyu ndo mwanangu na imani naye
Kanambia
Teamo mwanaaaa
Nakupenda mwanaguuu
Aaaaaah
Nakupenda mwanaguu
Ooooh nakupenda mwananguu
Ni kwel jana nimekosa
Amenisamehe
Sina haja jiraumu kwa makosa ya jana
Amenisamehe
Ni kwel jana nimekosa
Amenisamehe
Sina haja jiraumu kwa makosa ya jana
Amenisamehe
Tena bwana ana jina langu Mikononi mwake
Alafu hujinadii nalo Malaika huko mbiguni
Kwa madaha Ajigamba enzini
Just come mwoneni
Huyu ndo mwanangu na imani naye
Kanambia
Teamo mwanaaaa
Nakupenda mwanaguuu

Поcмотреть все песни артиста

Other albums by the artist

Similar artists