Kishore Kumar Hits

Jabidii - Bila Jasho lyrics

Artist: Jabidii

album: Bila Jasho


Bila jasho
Bila ja
Bila jasho
Dj crab adaba, alafu cheza doba
Iki bamba sana, una pull up mara saba
Inashika kushinda jaba
Bila jasho najibamba niko sober
Arababababa alafu leta rubber
Bad vibes to na rub it bila rubber
Wakiskia hii song wajue ni baba
Wakipiga tiktok wajue ni
Itakuwaje mavinjana
Hapa tunakunywa maji sio chang aa
Hakuna kung'ang'ana
Hizi tunatoka hapa bila ja, shooo
Bila jasho
Bila ja sho
Hizi tunatoka hapa bila ja sho
Bila jasho
Bila ja sho
Hizi tunatoka hapa bila ja
Kuna msee anakutesa bila hatia
Mpaka unalia, unalia unalia
Usiwe na pressure Yesu ako here
Atabeba mzigo yako hope unasikia
Ukiweka nguvu mingi kuna vile uko solo
Zitoke tuu mbogo usichafue polo
Kama huja rada tukidance utufollow
Tunazitoka free hapa hatutoi jasho
So hii dance weh ndio kusema
Weh nikama guest
Najua nibila jasho unahitaji ku rest
So mkono moja unaweza weka kwa ukuta
Ama kwa shoulder ya beshte yako hapo next
Bila jasho
Bila ja sho
Bila jasho
Hizi tunatoka hapa bila ja sho
Bila jasho
Bila ja sho
Bila jasho
Hizi tunatoka hapa bila ja sho
Ni bila jasho, rent ataleta bila ja sho
School fees usi worry itacome bila ja
Wanafunzi mtapita teo bila ja sho
Lakini soma
So hi dance weh ndio kusema
Weh nikama guest
Najua nibila jasho unahitaji kurest
So mkono moja unaeza weka kwa ukuta
Ama kwa, shoulder ya beshte yako hapo next
Bila jasho
Bila ja sho
Bila jasho
Hizi tunatoka hapa bila ja sho
Bila jasho
Bila ja sho
Bila jasho
Hizi tunatoka hapa bila ja sho
Matthew 11:28
Christ anasema maze
Nyi wasee mkana mizigo mzito
Kujeni awapumzishe bila ja sho

Поcмотреть все песни артиста

Other albums by the artist

Similar artists