Your my ringtone Me kwako sipindui niko Pindo Nimekaza nasipoi kama Fundo Mateka goi goi kwenye lindo Your my ding dong Me kwako niko hoi yani simple Me ndo Queen we ndo King kwenye kingdom Kwa wengine me sitoi sina mingo Wataka nini leo utapata Niko high nishawaka Kwenye kosa nishaweka pata Nizungushe kwa ufundi nataka Na utuli mbabata Nyuki kwa asali nafata Shubidaba penzi nidonoe Kitanga mpaka nikohoe Mwumba kapanga baba unioe Karanga tamu kumenya Napata hamu ukinena Nakosa Raha unikununa So baby come on over And pull me closer I put my spell on yah Mvinyo wa Mahaba nileweshe Kiwanja nichezeshe Nilainike niwe tepe tepe Fadhila za punda ni mateke Kwa mikiki na makeke Wanafiki wadananda watukwepe Kwa Haya wakichoka watupepe Oh sasa bamiza (kaza kwa nga nga nga) Oh sasa bamiza (yani swadata) Oh sasa bamiza (kwa ba ba ba) Una macho ya uwizi uwizi (original) Body shape la kitizi (physical) Kwa kuhandle upo fiti (Professional) Ibiza tukabarizi (tukajivinjari) Wee ndo fundi wa raha hizi (ni hatari) Nimepagawa kama chizi Karanga tamu kumenya Napata hamu ukinena Nakosa Raha unikununa yeah So baby come on over And pull me closer I put my spell on yah